E.l.ve
Senior Member
- Dec 5, 2012
- 134
- 22
Habari wana jf!jamani mwenzenu naombeni ushuri.jamani kama mnakumbuka nilishawai kuja humu kuomba ushauri kuhusu matatizo ya mpenzi wangu ambaye kwa sasa ni X toka mwezi watatu mwaka huu.chakushangaza ama chakutisha X huyu amenipigia cm usiku huu nakuniambia maneno makari sana kiasi kwamba nimekosa adi amani.kanipigia cm kupitia number ngeni na nilipopokea kaniambia kuwa.Umenipotezea mda sana nanilikuwa nafikiria nikufanyanye ila baada yakujua chakukufanya nimeona leo nikwambie.akasema kuwa Nitakufanya kitu kibaya sana akasema labda sio yy anaetokea Usukumani.kiukweli kanitisha sana na mwisho akamalizia labda ningekuwa sifahamu majina yako yote matatu lakini yote nayajua lazima nikukomeshe.mpaka sasa sielewi atanifanyaje maana kasema ww siunajifanya unamjua sana yesu.mwenzenu nifanyaje maana alishawai kusema siku nikimuacha atahakikisha ananitoa duniani hata kwa mtt wa bunduki ili mladi asinione wala kunisikia duniani.niende wapi mwenzenu kwani yy mwenyewe ndo alishindwa makubaliano 2liyowai kuwekeana na aliniapia kuwa atajirekebisha lakini alishindwa.mungu wangu upo wapi uniokoe...