Linus richy
Member
- Feb 13, 2015
- 29
- 2
Ni vigumu kuamini lakn ndo ukweli .miaka miwili iliyopita nilikua mtu mwenye bahat ya kupendwa sana na akina dada japo skuwa na mvuto (handsome) wala skuwa na pesa .Lakini sasa mambo yamekuwa tofaut ndg zang kila demu nnaye mtongoza ananichomolea .hata akikubali bas hatutadum ktk mahusihano hayo. Ni siku mbili tatu ,tunaachana .Napata shida sana nikilinganisha na kipind kile .nilikuaga cjui stress za kukataliwa na unaempenda.Ni mwaka mmoja na miez kadhaa cjaonja radha ya mahaba ..
Tatizo hili lilianza baada kutembea na demu mmoja hiv ambae alinitaka mwenyewe .na mwisho aliniomba nguo yang (t-shirt) nilimpa maana nilimpenda .cha ajabu alkataa mpya akaitaka ile niliokuwa tayar nimeivaa ..toka kipndi hicho mambo yamekuwa magumu ..
Tatizo hili lilianza baada kutembea na demu mmoja hiv ambae alinitaka mwenyewe .na mwisho aliniomba nguo yang (t-shirt) nilimpa maana nilimpenda .cha ajabu alkataa mpya akaitaka ile niliokuwa tayar nimeivaa ..toka kipndi hicho mambo yamekuwa magumu ..