Dr. Zaganza JF-Expert Member Joined Jul 15, 2014 Posts 1,765 Reaction score 2,684 Jun 15, 2016 #1 Habari wakuu. Natafuta IST(TOYOTA) yenye sifa hizi: 1.Iwe namba C au D 2.Jina la muuzaji liwe kwenye kadi 3.Bei isizidi milioni sita(6,000,000/-) Simu:0713-039875 au 0784-976570
Habari wakuu. Natafuta IST(TOYOTA) yenye sifa hizi: 1.Iwe namba C au D 2.Jina la muuzaji liwe kwenye kadi 3.Bei isizidi milioni sita(6,000,000/-) Simu:0713-039875 au 0784-976570
M mliverpool JF-Expert Member Joined Jan 6, 2015 Posts 1,580 Reaction score 2,993 Jun 15, 2016 #2 Kwa hiyo bei ,Kama utapata ujue ya wizi....[emoji23] [emoji23]
Qulfayaqul JF-Expert Member Joined Apr 10, 2008 Posts 480 Reaction score 84 Jun 15, 2016 #3 Hakuna IST ya bei hiyo kaka, kama Vitz utapata sio IST, Ukitaka IST bajeti ya chini kabisa weka Milioni nane 8,000,000
Hakuna IST ya bei hiyo kaka, kama Vitz utapata sio IST, Ukitaka IST bajeti ya chini kabisa weka Milioni nane 8,000,000
kagwima JF-Expert Member Joined Jun 6, 2016 Posts 1,327 Reaction score 1,705 Jun 15, 2016 #4 Ngoja wenye nazo waje
Dyf Senior Member Joined Feb 2, 2016 Posts 185 Reaction score 150 Jun 15, 2016 #6 Car buying agent upon kazini