Malengo ya kizalendo ndio nini?
Unaposema tuaminike ili iwe vipi, CDM inaaminika bara na visiwani, mjini na vijijini, ndani na nje ya nchi. Unakuja na hoja dhaifu hata aibu huoni.
Hao uliodai wazee kawaambie waanze na pogba kwenye chama chako CCM, wakimaliza waende CUF ya lipumba. CDM wazee wanao tena wana busara zao za kutosha so shut the hell up!