kulunalila
Member
- Dec 1, 2011
- 43
- 6
nchi hii ilipiganiwa uhuru na kundi kubwa la viongozi waliokuwa vijana wakati huo, leo tuna siku ya pili ya kuutafuta uhuru wa pili ama niseme kuwa ni awamu ya pili ya ukombozi wa taifa letu lenye rasilimali tele na adimu duniani, tunao vijana wengi katika siasa na nje ya siasa, je kati ya hawa nani ataleta uhuru wa pili(ukombozi)
nape nnauye
mchembe
masauni
beno
nchimbi
january
millya
kawaa(vita na dada yake)
mnyika
zitto
mtatiro
jussa
sugu
kafulila
manchali
mdee
ester bula
bashe
paul mashaul
nyalandu
dewji
lema
au mwingine yeyote unaye mtambua nje ya hawa....???
nchi hii ilipiganiwa uhuru na kundi kubwa la viongozi waliokuwa vijana wakati huo, leo tuna siku ya pili ya kuutafuta uhuru wa pili ama niseme kuwa ni awamu ya pili ya ukombozi wa taifa letu lenye rasilimali tele na adimu duniani, tunao vijana wengi katika siasa na nje ya siasa, je kati ya hawa nani ataleta uhuru wa pili(ukombozi)
nape nnauye
mchembe
masauni
beno
nchimbi
january
millya
kawaa(vita na dada yake)
mnyika
zitto
mtatiro
jussa
sugu
kafulila
manchali
mdee
ester bula
bashe
paul mashaul
nyalandu
dewji
lema
au mwingine yeyote unaye mtambua nje ya hawa....???
Nadhani Lema na Sugu wameanza kuonyesha njia kwa kutokuwa waoga kwa wanyonyaji wa hii nchi...
nchi hii ilipiganiwa uhuru na kundi kubwa la viongozi waliokuwa vijana wakati huo, leo tuna siku ya pili ya kuutafuta uhuru wa pili ama niseme kuwa ni awamu ya pili ya ukombozi wa taifa letu lenye rasilimali tele na adimu duniani, tunao vijana wengi katika siasa na nje ya siasa, je kati ya hawa nani ataleta uhuru wa pili(ukombozi)
nape nnauye
mchembe
masauni
beno
nchimbi
january
millya
kawaa(vita na dada yake)
mnyika
zitto
mtatiro
jussa
sugu
kafulila
manchali
mdee
ester bula
bashe
paul mashaul
nyalandu
dewji
lema
au mwingine yeyote unaye mtambua nje ya hawa....???
Mie kwa CCM naona yupo Ngereja, Fred, Vick Kamata, Miraji, na Ridhiwani..kwa chadema Mnyika,Lema, Lisu na Mdee wasipobadilika kwa tamaa ni wakombozi wazuri wa Taifa hili.
Kwa nini usiseme wewe ndo utaleta ukombozi? Kwa upande wangu mimi ndo nitaleta ukombozi wa taifa letu.