NAMNA YA KUBLOCK SIMU ILIYOIBIWA

miminho

Member
Joined
Feb 15, 2012
Posts
46
Reaction score
7
Habari wandugu !

Naomba kujua namna ya kublock simu iliyoibiwa isiwez kutumiwa kabisa na aliyeiba au kuuziwa. Nimejaribu kuuliza mitandao yetu ya simu hawawez kufanya hicho kitu.

Nimeshindwa kuelewa simu zilisajiliwa za nn na IMEI namba huwa wanarekod za nn ???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…