Namna ya ku - unlock ipad2 3G

kaburunye

JF-Expert Member
May 12, 2010
672
74
Wadau,
Nimepata ipad2 3G ambayo iko locked kutumia sim card ya japan (Softbank network). Je kuna uwezekano wa kui-unlock ili ikubali kutumia mitandao yetu ya kibongo? Je hii huduma ya ku-unlock inapatikana wapi? Msaada tafadhali
 
nadhani njia moja ni kuiJailbreak then utaUnlock kwa mitandao yote kupitia 'Cydia' application,,,,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…