Nakutafuta mchumba wa kuoa

makmugani

Member
Joined
Jul 21, 2015
Posts
37
Reaction score
6
Habari wana jf, Mimi ni kijana wa kiume nafanya Kazi katika company moja ya kifedha, nahitaji mchumba wa kuowa v igezo awe mweusi, Mnene wa Kati na siyo mrefu sana dini na elimu haijalishi ili mladi awe tayari kwenda kupima Ukimwi kabla kufanya chochote!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…