Barraza JF-Expert Member Joined Oct 10, 2011 Posts 481 Reaction score 270 Nov 13, 2012 #1 Kama kuna mtu mwenye vifaa kwa ajili ya Saluni ya kiume na anaviuza kwa bei poa tuwasiliane. Ninataka kununua Viti, Mashine za kunyolea, Makochi, pamoja na vifaa vinginevyo vinavyohitajika kwa ajili ya kuanzisha hii biashara.
Kama kuna mtu mwenye vifaa kwa ajili ya Saluni ya kiume na anaviuza kwa bei poa tuwasiliane. Ninataka kununua Viti, Mashine za kunyolea, Makochi, pamoja na vifaa vinginevyo vinavyohitajika kwa ajili ya kuanzisha hii biashara.