. nyakati nyingine tunakuwa na muda mwingi wa bure ambao hatuna kazi nao, maduka yote ya simu yaliyo tawanyika Dar nzima hii, leo unatafuta simu kwenye jukwaa hili, naamini ni utoto tu ukikuwa utaacha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
. nyakati nyingine tunakuwa na muda mwingi wa bure ambao hatuna kazi nao, maduka yote ya simu yaliyo tawanyika Dar nzima hii, leo unatafuta simu kwenye jukwaa hili, naamini ni utoto tu ukikuwa utaacha!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
kwan akiuliza humu kuna ubaya ....huo sio utoto hii ni forum ya matangazo na mtu anahaki ya kuweka tangazo kila kitu anachouza au anachotafuta..............acha ujinga