Nahitaji Psychologist

Hapana nimefanya ngono sana mkuu,am above 40,nimefanya sana for fun na wanawake tofauti.Nimefanya na niwapendao kwa asilimia 100,Napendwa na wengi lakini nawaona wa kawaida kabisa.Sina furaha na maisha tu,kama nimekata tamaa vile.Nilipokuwa nalipwa gross 1.255m nilikuwa nafuraha sana sana sana japo pesa nilikuwa naiona ndogo 935 net.Nilipoanza hii kazi mpya December last year nilikuwa nafuraha saaaaana kwa kipato nachopata kipya.Sasa hivi ile furaha imetoweka.Nakuwa ndani ya nafsi yangu nasema sistahili kulipwa mshahara huu,sifanyi kazi inayoendana na kipato hiki,namuibia mwajiri wangu,naahidi kesho ntaanza tofauti lakini kesho ikifika nakuwa na unyonge ule ule.
 
Fanya mazoezi na watu mbalimbali seemu za GM sikiliza sana nyimbo za hippap. Nunua pombe Kali kila siku kunywa kidogo tu. Yani lobo glass.
Mkuu asante,mazingira yangu siwezi kwenda Gim,sinywi pombe niliacha siku nyingi na hata si miss those moments,labda kwa muziki,nipe aina za nyimbo nisikilize niangalie kama ntajiskia tofauti
 
Wengi wamenena mi ushauri wangu ukosefu wa furaha unaujenga kwa kupenda kujifungia ndani toka nje socialize have a life hata kama hujazoea it is going to make a difference!
 
Wengi wamenena mi ushauri wangu ukosefu wa furaha unaujenga kwa kupenda kujifungia ndani toka nje socialize have a life hata kama hujazoea it is going to make a difference!
Thank you l will give a try.
 
Pole, google PHQ-9 na GAD-7 hizi ni tools mbili za kuangalia kama una depression au anxiety. Kuwa mkweli kwenye majibu yako. Kama unaogopa self diagnosis basi kamuone daktari, pronto.
Lakini kabla daktari wako hajaenda kwenye magonjwa ya akili na mawazo. Lazima aangalie na ku-rule out physical illnesses, ie underactive Thyroid (Hypothyroidism) can give symptoms very similar to depression. All the best.
 
Chichanganye na watu na kushare kipato chako, kwa kukitoa kama Sadaka...! hiyo ndio dawa pekee inayoweza angalau kupona tatizo lako..!
 
Yier this is very true kuwa hii ni mental health problem nd I think depression were you experience long time sadness with no reasons , myself I doubt of having OCD ndio maana I visit much via forums to get clues nd I expect to see a pyschiatrist currently .Guys for what I come to realize ni kwamba the devil bring anxiety nd depressions massively nowadays alot of people are suffering without awareness
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…