Nahitaji Mme mwenye miaka 38-49

Watu wanakosea sana wanapodhani kwa kuwa mwanamke umri umeenda na ana mtoto/watoto basi yupo tayari kuolewa na yoyote tu ili mradi ni mwanaume.
 
Kila la heri dada
 
Age 37 yrs na bado una mtoto alafu bado una chagua!!!!??? Aya, kila la kheri.
Kuwa na mtoto ni kosa linalosababisha asichague? Halafu hujui huyo mtoto baba yake yuko wapi na kwanini.
Kama huna vigezo acha wenye vigezo wa apply.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…