Hii mikopo ni high risk uwezikano wa Hela kupotea ni mkubwa sana , watu wengi wanaokwenda huku hawana Sifa za kukopesha na Bank.
140000/460000 = ni 15%. Kwa mwezi ukigawa Kwa miezi miwili .
Wewe unaanfalia hiyo 140000/ Kwa miezi miwili , wakati uwezikano wakutolipwa 99%