Naitwa Rajab ni kijana wa miaka 23 naishi Dar es Salaam maeneo ya Tegeta. Nahitaji kazi ya udereva wa gari ndogo kwa sababu nina leseni ya daraja B na D na nina uzoefu wa gari ndogo tu.
Naweza fanya kazi sehemu yoyote mahali popote pale hata kwa kujitolea au kwa makubaliano maalumu.
Asanteni.
0783231177