Sexer JF-Expert Member Joined Oct 22, 2014 Posts 8,513 Reaction score 8,276 Nov 15, 2016 #1 Dizeli manual 10M mezani
Fall Army Worm JF-Expert Member Joined Jan 8, 2015 Posts 19,371 Reaction score 14,515 Nov 15, 2016 #2 Ukiipata kwa bei hiyo naomba unishitue na mimi kwa pm.
Sexer JF-Expert Member Joined Oct 22, 2014 Posts 8,513 Reaction score 8,276 Nov 15, 2016 Thread starter #3 CHAULA RICH said: Ukiipata kwa bei hiyo naomba unishitue na mimi kwa pm. Click to expand... mie nshachukua jion hii, nawe kachukue hii hapa
CHAULA RICH said: Ukiipata kwa bei hiyo naomba unishitue na mimi kwa pm. Click to expand... mie nshachukua jion hii, nawe kachukue hii hapa
Fall Army Worm JF-Expert Member Joined Jan 8, 2015 Posts 19,371 Reaction score 14,515 Nov 16, 2016 #4 Sexer said: mie nshachukua jion hii, nawe kachukue hii hapa Click to expand... Mkuu umechukua kwa bei hiyo???,wapi huko??,je zina patikana??.
Sexer said: mie nshachukua jion hii, nawe kachukue hii hapa Click to expand... Mkuu umechukua kwa bei hiyo???,wapi huko??,je zina patikana??.
Sexer JF-Expert Member Joined Oct 22, 2014 Posts 8,513 Reaction score 8,276 Nov 16, 2016 Thread starter #5 CHAULA RICH said: Mkuu umechukua kwa bei hiyo???,wapi huko??,je zina patikana??. Click to expand... nimechukua kwa 9M, hapahapa tanzania, ndiyo zinapatikana nyingi tu. hiyo hapo juu inapatikana kwa 8M inashuka hadi 7.5, pia nyingine inauzwa 6.3M.
CHAULA RICH said: Mkuu umechukua kwa bei hiyo???,wapi huko??,je zina patikana??. Click to expand... nimechukua kwa 9M, hapahapa tanzania, ndiyo zinapatikana nyingi tu. hiyo hapo juu inapatikana kwa 8M inashuka hadi 7.5, pia nyingine inauzwa 6.3M.
Fall Army Worm JF-Expert Member Joined Jan 8, 2015 Posts 19,371 Reaction score 14,515 Nov 16, 2016 #6 Sexer said: nimechukua kwa 9M, hapahapa tanzania, ndiyo zinapatikana nyingi tu. hiyo hapo juu inapatikana kwa 8M inashuka hadi 7.5, pia nyingine inauzwa 6.3M. Click to expand... Zinapatikana mkoa gani???.
Sexer said: nimechukua kwa 9M, hapahapa tanzania, ndiyo zinapatikana nyingi tu. hiyo hapo juu inapatikana kwa 8M inashuka hadi 7.5, pia nyingine inauzwa 6.3M. Click to expand... Zinapatikana mkoa gani???.
Sexer JF-Expert Member Joined Oct 22, 2014 Posts 8,513 Reaction score 8,276 Nov 16, 2016 Thread starter #7 CHAULA RICH said: Zinapatikana mkoa gani???. Click to expand... Dar na Mwanza, mie nilipenda ya 9M sababu ilikuwa na bodi kama jipya afu namba C na ilikuwa hapahapa mwanza
CHAULA RICH said: Zinapatikana mkoa gani???. Click to expand... Dar na Mwanza, mie nilipenda ya 9M sababu ilikuwa na bodi kama jipya afu namba C na ilikuwa hapahapa mwanza
Fall Army Worm JF-Expert Member Joined Jan 8, 2015 Posts 19,371 Reaction score 14,515 Nov 16, 2016 #8 Sexer said: Dar na Mwanza, mie nilipenda ya 9M sababu ilikuwa na bodi kama jipya afu namba C na ilikuwa hapahapa mwanza Click to expand... Ok!!,kumbe upo Mwanza.sasa naomba namba yako ya simu maana mimi nipo Ngara.
Sexer said: Dar na Mwanza, mie nilipenda ya 9M sababu ilikuwa na bodi kama jipya afu namba C na ilikuwa hapahapa mwanza Click to expand... Ok!!,kumbe upo Mwanza.sasa naomba namba yako ya simu maana mimi nipo Ngara.