Man Mvua JF-Expert Member Joined Apr 12, 2016 Posts 2,179 Reaction score 3,522 Feb 10, 2018 #1 Mwenye computer anayeuza au kama unamfahamu mtu anauza , tafadhali naomba nijulishe. Iwe na RAM 4GB na kuendelea. HDD 350 na core i5. Budget yangu ni 350000 Cash.
Mwenye computer anayeuza au kama unamfahamu mtu anauza , tafadhali naomba nijulishe. Iwe na RAM 4GB na kuendelea. HDD 350 na core i5. Budget yangu ni 350000 Cash.
SIM JF-Expert Member Joined Oct 25, 2011 Posts 1,796 Reaction score 1,308 Feb 10, 2018 #3 Winery1 said: Moshi iko hii Click to expand... ipi hiyo weka tuione mkuu
sengobad JF-Expert Member Joined Aug 13, 2017 Posts 9,237 Reaction score 8,992 Feb 10, 2018 #4 Iko Lindi fanya utaratibu nikutumie
Streetwinnercomputer Senior Member Joined May 11, 2015 Posts 107 Reaction score 38 Feb 11, 2018 #5 Man Mvua said: Mwenye computer anayeuza au kama unamfahamu mtu anauza , tafadhali naomba nijulishe. Iwe na RAM 4GB na kuendelea. HDD 350 na core i5. Budget yangu ni 350000 Cash. Click to expand... Ninayo yenye 4gb,500gb core i5 ya hp Bei yangu ya mwisho 400k.kama unahitaji nicheck 0712842283 ipo dar
Man Mvua said: Mwenye computer anayeuza au kama unamfahamu mtu anauza , tafadhali naomba nijulishe. Iwe na RAM 4GB na kuendelea. HDD 350 na core i5. Budget yangu ni 350000 Cash. Click to expand... Ninayo yenye 4gb,500gb core i5 ya hp Bei yangu ya mwisho 400k.kama unahitaji nicheck 0712842283 ipo dar
Ulongupanjala JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 8,508 Reaction score 13,976 Feb 11, 2018 #6 Winery1 said: Moshi iko hii Click to expand... Nitumie details za hiyo PC yako,pamoja na picha!
sizonjemadawa JF-Expert Member Joined Feb 11, 2017 Posts 1,052 Reaction score 1,306 Feb 11, 2018 #7 Man Mvua said: Mwenye computer anayeuza au kama unamfahamu mtu anauza , tafadhali naomba nijulishe. Iwe na RAM 4GB na kuendelea. HDD 350 na core i5. Budget yangu ni 350000 Cash. Click to expand... Ukihitaji desk top nicheki Gb 500 ram 4 gb
Man Mvua said: Mwenye computer anayeuza au kama unamfahamu mtu anauza , tafadhali naomba nijulishe. Iwe na RAM 4GB na kuendelea. HDD 350 na core i5. Budget yangu ni 350000 Cash. Click to expand... Ukihitaji desk top nicheki Gb 500 ram 4 gb
Set pet Member Joined Sep 23, 2016 Posts 98 Reaction score 96 Feb 11, 2018 #9 PAZIA 3 said: Bila shaka wanasomea masomo ya sayansi,na mwaka huu bila shaka wanahitimu,na naskia mwez huu wa pili wana mtihani wa kitaifa, Hivi nao wakimaliza watasubili ajira kama wengine? au wao wataunganishwa kazini kwakua ni special program? Click to expand... Itabid nao wasubir Kama tunavyosubir wengine
PAZIA 3 said: Bila shaka wanasomea masomo ya sayansi,na mwaka huu bila shaka wanahitimu,na naskia mwez huu wa pili wana mtihani wa kitaifa, Hivi nao wakimaliza watasubili ajira kama wengine? au wao wataunganishwa kazini kwakua ni special program? Click to expand... Itabid nao wasubir Kama tunavyosubir wengine