Wadau,msaada tafadhali,natafuta chumba cha kupanga maeneo ya karibu na chuo cha ushirika,au st marigoret au Rau secondary,kuwe na usalama maana sio mtu wa kuwepo nyumbani mpaka jioni,tuwasiliane 0753-114524 au nipm.jf daima milele!
nenda pale KCMC Hosiptali sehemu ya TATCOT kuna mzee mmoja anaitwa mtui ana nyumba nzuri ipo karibu na barabara na nilikuwa nakaa kwake sema tu nimehamia mkoa mwingine
nenda pale KCMC Hosiptali sehemu ya TATCOT kuna mzee mmoja anaitwa mtui ana nyumba nzuri ipo karibu na barabara na nilikuwa nakaa kwake sema tu nimehamia mkoa mwingine