NACTE yampa presha mtoto wa masikini

msomso

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
464
152
Ndugu wana jamvi baada ya kuwa sisi tuliochaguliwa UDSM kupitia NACTE kutemwa kule kwa kukosa credit tatu za o level.

Nacte walitufungulia profile zetu tuchague upya nilifanya hivo lakini mpaka sasa profile yangu haijabadika na kesho wanatoa third batch Kweli ntapata mkopo masikini Mimi.

Na machungu makubwa ila nacteeeee mungu awahurumie.
 

dah mwanangu jukwaa lote linanuka post zako



Kwa kupost nyuzi nyingi sizani km utapata msaada kulingana na tatizo lako

Nakushaur uende nacte leo kaka sio humu na threads zako km sita
 
Mm sijaelewa, kutemwa kule kwa kukosa credit Tatu za Olevel maana yake nn? Umechanganya habari mbili kwa pamoja#
 

mkuu acha tu yaani hata tukipata chuo sijui kama tutapokelewa maana deadeline ni wiki hii
 
Mm sijaelewa, kutemwa kule kwa kukosa credit Tatu za Olevel maana yake nn? Umechanganya habari mbili kwa pamoja#

mkuu elimu ya siku izi ni hatari bila shaka ndiyo wale wanaohitim kidato cha nne alafu wanaenda kusomea stashahada.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…