Ndugu wana jamvi baada ya kuwa sisi tuliochaguliwa udsm kupitia nacte kutemwa kule kwa kukosa credit tatu za oleval Nacte walitufungulia profile zetu tuchague upya nilifanya hivo lakini mpaka sasa profile yangu haijabadika na kesho wanatoa third batch Kweli ntapata mkopo masikini Mimi ,Na machungu makubwa ila nacteeeee mungu awahurumie
Ndugu wana jamvi baada ya kuwa sisi tuliochaguliwa UDSM kupitia NACTE kutemwa kule kwa kukosa credit tatu za o level.
Nacte walitufungulia profile zetu tuchague upya nilifanya hivo lakini mpaka sasa profile yangu haijabadika na kesho wanatoa third batch Kweli ntapata mkopo masikini Mimi.
Na machungu makubwa ila nacteeeee mungu awahurumie.
Third lot imetoka Heslb na mimi nimekosa mkopo japo ni kozi ya science na ni priority
Mm sijaelewa, kutemwa kule kwa kukosa credit Tatu za Olevel maana yake nn? Umechanganya habari mbili kwa pamoja#