Mzigo mpya bei poa..!!!!

Mbwa dume

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2014
Posts
6,289
Reaction score
10,963
Mpendwa mteja napenda kuwajulisha kuwa sasa kuna punguzo maalum la msimu wa sikukuu,

Ni majeneza ya kisasa kabisa yenye ubora na muonekano wa kuvutia!
Pia tunatoa huduma ya kujenga na kukarabati makaburi kwa material za kisasa kabisa.!

Tunapatikana dodoma ila kwa mlioko mikoa ya jirani, tunatoa ofa ya usafirishaji ikiwa utanunua mzigo kwetu.

Pia tunahitaji mawakala kutoka mikoa mingine ili kuweza kusambaza huduma zetu.







Karibunu sana kwa huduma nzuri na bei nafuu.
Nb: nimeshindwa kuweka no ya simu kwa kuepuka usumbufu
(kwa wale wazee wa kutukana) hivyo ndugu mteja uliye serious njoo pm nikupe mawasiliano yangu.

Samahani ikiwa kuna mtu nimemkwaza kwa namna moja ama nyingine (ieleweke kuwa hii ni huduma kama zilivyo huduma nyingine) karibuni sana.
 
Aisee...!! Unatukumbusha tunapaswa kufunga virago muda wowote safari inaanza....
NDO HIVYO MKUU NI VIZURI KUJIANDAA IKIWEZEKANA UNANUNUA KABISA HATA MAJENEZA MAWILI KWA TAADHALI ILI IKITOKEA MMOJA AMEKUFA KWENYE FAMILIA YENU MSIJE KUHANGAIKA MUDA HUO.
PIA UKICHUKUA KUANZIA MAJENEZA MATATU TUNAKUONGEZA MOJA LA MTOTO BURE, KARIBU SANA NDUGU!
 


Hii ngumu kumeza na kuongezwa tena mmh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Jamani kwa nini mmeamua kuususia huu uzi.? yaani siamini kama hata kale kajamaa kanakokomenti kila uzi(kale kanakotumia avatar ya mtoto aliyebemendwa) nako kameogopa kupita huku duh..!
 
najutraaaa kufungua huu uzi .muwe mnatoa tahadhari ya kwamba picha zinatisha. na ukizingatia huu usiku jamani. ntalala kwa Amani kweli

Nimekusaka sana nikupe copy ya list of watongozaji mashughuli sikuoni
 
Duu kazi kweli mpaka na hotpot ndani kufa kuna raha kumbe !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…