My perceptions: Know the failed evil plans of CHADEMA since 2010


Kejeli zako peleka ufipa mlikozoea majungu daily. A blind always sees nothing. So you are!
 

Thread ndeeeeefuuuuu kumbe imejaa ma.vi tu.
 

hahaha we jamaa unajuwa sana kuitekenya akili ya buku7.umewapoteza kabisa.teh teh.
 
Jamani mtamuua mwenzenu kwa point kali zenye fact. Wakati mwingine hawa waleta hoja wa kutetea CCM wanafanya makusudi ili waibomoe CCM kwa kuwakumbusha watu vitu walivyo kwisha visahau.Naomba wanikodishe mie niwatungie mambo ya kuandika humu, lakini kwa mtindo huu ni sawa na kumuongezea mgonjwa dose wakati yuko overdose !!!!?
 
You may have been conceived unknowingly!. Go for checkup little scu....mbag!. Hiwezekani ukajisikia kichefuchefu hivihivi, lazima watu walisharutubisha.

Poor you. kwako wewe mimba ni tusi, unajisahau kuwa pia umetokana na mimba unayoiona tusi, unknowingly umemtukana hadi mama yako aliye pata mimba ukaletwa duniani
 
Mleta mada Una akili Sana hawa chadema wamejitahidi kuleta uovu nchini wameshindwa na 2015 kitakufa maana walimletea fujo JK coz n mwislamu
 
Mleta mada Una akili Sana hawa chadema wamejitahidi kuleta uovu nchini wameshindwa na 2015 kitakufa maana walimletea fujo JK coz n mwislamu

Lusungo, hila za haya ma..jinga mbona tulishazing'amua kitambo!
 


Serikali hii bwana inaajiri hata machizi wala unga!. Eti na wewe ni afisa utumishi wilaya ya Rorya then unajifanya mjanja kumkandia mwajiri wako!. Wewe kwa majina kamili unaitwa Kelvin Manning, afisa utumishi II. Endelea na sarakasi zako utaona mavuno yake.
 
Huu ndio ule mwanzo wa mwisho wa chadema...mipango yao yote imejaa damu za watu vipi watafanikiwa.
 
Huu ndio ule mwanzo wa mwisho wa chadema...mipango yao yote imejaa damu za watu vipi watafanikiwa.

July worry not, hawa watu ni weupe nje ndani. Watu wanaijua vyema mipango yao hata ile ambayo haijawa executed!
 

mama naona wewe umepitia darasani lakini taalum ilikupita kushoto. Kama wewe ni mwajiri usiekosorewa ni sawa na kaburu. Hakuna binadamu anaejitoshereza kwa asilimia 100 na binadamu siku zote anajifunza toka kwa mwenzake na siyo kutoka kwake na ndiyo maana wahenga walisema NYANI HAONI KUNDULE HUONA LA MWENZAKE. Kuhusu Kerving Manning kuwa mimi naona utamuonea bure. Mimi umri wangu umeshavuka ajira na sasa naishi Morogoro KIHONDA KILIMANJARO na jina langu halisi ni Julius Manning mfanyabiashara na mkulima nitafute kwenye simu namba 0786775663 Najua unachoweza kumifanya ni kama ulivyomfanyia Ulimboka na mimi niko tayari kwa umri huu utakuwa unenisaidia kwani maisha yameshanipiga kiasi cha kutosha . Karibu sana mkuu. N.B Kuna vitu viwili ambavyo lazima vimtokee binadamu.1. KUFA- binadamu ni lazima afe hata afanye nini na hata awateseje na kuwauwaje wenzake ipo siku yake, HITLER yuko wapi na kaka yake musolina. 2.AJIRA- kama wewe umeajiriwa eidha na mtu binafsi,shirika, serikali au wananchi, lazima siku moja utastaafu, upende usipende .Kwa hiyo wewe na chama chako mtegemee hayo hayaepukiki. UNAKARIBISHWA.
 
Yafaa uingie kwenye maajabu 7 ya dunia! ni mwenye akili ya kuku ataunga mkono upuuzi wako huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…