Kuna madada wameitwa ambao walikua wanafanya kazi za KYC watatu,ila kaa stand by maana wameita sijui niseme au wamechukua wale waliokua wanafanya NMB Ambasador ambao kumbe walitakiwa wasiapply sasa sijajua mpk wanawaweka wale walikua hawajui maana ajira zao zimefutwa hawatakiwi waaply so haieleweki wataitwa wengine kujaza nafasi zao ama vipi...so stay tuned!!!