Mwenye Update Kuhusu Acess Bank

miri

Member
Joined
Apr 26, 2012
Posts
34
Reaction score
1
hawa watu wameshaanza kuitaa watu kwa ajir ya usaili
???
 
kama nikuhusu intrvs washaanza kuita, mm wamenipigia cm leo . Naomba ambaye ameshafanyaga intv Access post ya cashier anijuze ni maswali gani huwa wanaulizaga na intrv zao zinakuagaje? Na je huwa wanarudishaga/kutoa hela ya accommodation kwa wa2 wanaotoka mikoani... Natanguliza shurani zangu wana jamvi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…