matungwabengesi Member Joined Aug 11, 2016 Posts 12 Reaction score 6 Aug 12, 2016 #1 Habari za asuhuhi, napenda yeyote mwenye taarifa kuhusu majibu ya usaili wa NMB uliofanyika tar5/8/2016 Dar es salaam headoffice nafasi ya bank teller
Habari za asuhuhi, napenda yeyote mwenye taarifa kuhusu majibu ya usaili wa NMB uliofanyika tar5/8/2016 Dar es salaam headoffice nafasi ya bank teller
jang JF-Expert Member Joined Jul 31, 2014 Posts 1,415 Reaction score 1,189 Aug 12, 2016 #2 Bandiko la hizo vacancies uliweka humu?
NANGA WA KWATA JF-Expert Member Joined Jul 8, 2016 Posts 346 Reaction score 232 Aug 12, 2016 #3 Mleta uzi acha unoko
Raimundo JF-Expert Member Joined May 23, 2009 Posts 13,415 Reaction score 12,622 Aug 12, 2016 #4 Mbona tulishapewa mikataba mkuu?
matungwabengesi Member Joined Aug 11, 2016 Posts 12 Reaction score 6 Aug 12, 2016 Thread starter #5 Raimundo said: Mbona tulishapewa mikataba mkuu? Click to expand... Ok poa poa
Raimundo JF-Expert Member Joined May 23, 2009 Posts 13,415 Reaction score 12,622 Aug 12, 2016 #6 matungwabengesi said: Ok poa poa Click to expand... Mkuu nazuga tu, sina hata taarifa ya hiyo kitu.
matungwabengesi Member Joined Aug 11, 2016 Posts 12 Reaction score 6 Aug 12, 2016 Thread starter #7 Raimundo said: Mkuu nazuga tu, sina hata taarifa ya hiyo kitu. Click to expand... Haina shida mkuu tupo pamoja
Raimundo said: Mkuu nazuga tu, sina hata taarifa ya hiyo kitu. Click to expand... Haina shida mkuu tupo pamoja