Muhas selection First round

Jamani Muhas mbona hawafungui second round of application au kama kuna mwenye taarifa yao naomba anielekeze.......muda unaenda na deadline imekaribia 😭😭😭
 
Jamani Muhas mbona hawafungui second round of application au kama kuna mwenye taarifa yao naomba anielekeze.......muda unaenda na deadline imekaribia 😭😭😭
Mara nyingi MUHAS hawachukui Second round hususani MD maana idadi yao huwa inajitosheleza kwenye awamu ya kwanza.
Huwa wanakuwa na waombaji wengi kulingana na status yao.
 
Siyo MD mkuu,ni dental na radiology....hata hivyo wao pia walikuwa na multiple admissions
Mara nyingi MUHAS hawachukui Second round hususani MD maana idadi yao huwa inajitosheleza kwenye awamu ya kwanza.
Huwa wanakuwa na waombaji wengi kulingana na status yao.
Kwahyoo mkuu unanishauri nifanyeje... matokeo yangu ni Physics B, Chemistry C na biology D...nipo njiapanda..... binafsi napenda sana dental au radiology
 
Sijajua sana kuhusu Dental na Radiology. Jaribu kucheki kwenye TCU guide book uone wamepewa slots ngapi za hzo kozi halafu jaribu kuangalia namba ya waliochaguliwa.
 
Siyo MD mkuu,ni dental na radiology....hata hivyo wao pia walikuwa na multiple admissions

Kwahyoo mkuu unanishauri nifanyeje... matokeo yangu ni Physics B, Chemistry C na biology D...nipo njiapanda..... binafsi napenda sana dental au radiology
nikushauri kwa matokeo hayo jaribu kuangalia hizo kozi vyuo vengine MUHAS watakusumbua tu mwisho wa siku ukose chuo buree
 
Mimi nilikuwa napendelea Muhas kwa sababu financially I'm not stable
Hili ni,tatizo jengine, shida ipo kweny ufauli wako kupata vyuo vya public kwa kozi hizo ni ngumu kutokana na ushindani mkubwa kwa sasa ila private unapata bila ya shida
 
Daa

Daah, tatizo hizo kozi zinatolew Muhas only isipokuwa dental ambayo inatolewa bugando
Nimeona udsm wameweka dental kwenye hii second round. Nadhani ndio wameanzisha. Kimbilia huko mdogo wangu kabla wengi hawajasanuka
 
Jamani Muhas mbona hawafungui second round of application au kama kuna mwenye taarifa yao naomba anielekeze.......muda unaenda na deadline imekaribia [emoji24][emoji24][emoji24]

Inabid ukubal ukwel unao uma hupati muhas kwa div 1 yako ya 9 especially MD Radiology na Pharmacy wale cut point hawafat kama ilvo wekwa na TCU ukiwa na div 1 ya 6 kushuka chin at least ila kwa ufaulu wako kama unajipenda apply private unapata chap kwa hiyo div 1 ya 9 hata udom MD hupati

ukibisha nacho kwambia utakaa home mwaka mzima na div 1 ya 9 iliwan nikuta nakupa ushaur mapema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…