Mtihani wa uaminifu

Mkuu hapo ulishikwa pabaya yaani hata mm kichwa kinauma kudhibitisha kwamba ushahidi alionao alitafsiri tofauti,siyo

mchezo!..
Nyakwec's Bro, naomba nikung'ate sikio..... hizi ni stori tu za hapa kijiweni JF, tunasukuma muda ili saa kumi na moja ifike.
Tutakutana mwisho wa mwezi kwenye kaunta ya Kebb's Hotel. please dont miss
 
Last edited by a moderator:
hizi story mbona kama za nyanchabakenya kule mara
 
Acha ku-copy na ku-paste. this is not your story.
ndiyo maana nikaanza kwa kusema ....NIMEIONA MAHALI HII....ISOME NA WEWE USIJALI KAMA NI NDEFU SANA....hakuna sehemu niliosema stori hii ni ya kwangu
 
Nakuhakikishia huyo utamgonga tu huko siku za mbele.....
 
kweli kbs mkuu,hii ilishaletwa hapa na wanajukwaa wakaijadili vya kutosha.
ndiyo maana nikaanza kwa kusema ....NIMEIONA MAHALI HII....ISOME NA WEWE USIJALI KAMA NI NDEFU SANA....hakuna sehemu niliosema stori hii ni ya kwangu
 
huyo hakuwa anakimbia kuzini na shemeji yake mtarajiwa; alikuwa anakwenda kuchukua kondom kwenye gari. ndicho kilichomsaidia kama alivyodai mwenyewe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…