Msuya auction mart acheni utapeli

HaMachiach

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
3,445
Reaction score
6,207
Kampuni ya udalali ijulikanayo kama MSUYA AUCTION MART acheni kutapeli watu na bidhaa zenu mbovu mmefanya utapeli wiki iliyopita Namba mnzotoa kwa wateja wenu nazo feki listi mnasumbua kutoa sasa ninasema utaratibu unafanyika ili mfikishwe mahakamani ifike Mahali TRA muangazie hizi kampuni za udalali wawe na machine za TFD kwajili ya risti .
TIN:105-824-475

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama una ushahidi na uhakika pia peleka kwa wahusika washughulikiwe haraka ipasavyo

Ila kama una mpango wa kuwaharibia jina haitapendeza


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kama una ushahidi na uhakika pia peleka kwa wahusika washughulikiwe haraka ipasavyo

Ila kama una mpango wa kuwaharibia jina haitapendeza


Sent from my iPhone using JamiiForums
Ushahidi ninao nina risti nitapeleka wapi wakati wametoa Namba isiyopatikana kama wapo hapa wajitokeze watoe Namba sahihi au waseme ofisi zao ziko wapi

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ni ya Msuya huyu huyu Former Premier au?
 
Mashine za Tfd ndo nini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…