mtotowamjini JF-Expert Member Apr 23, 2012 4,526 1,169 Aug 11, 2012 #21 Mi ningeshauri mabwe pande iwe ndio makao makuu ya usalama wa taifa.. Ili wakitaka kumng'oa mtu kucha wanatoka tu nje hakuna haja ya kusafiri nusu saa kutoka dar mjini
Mi ningeshauri mabwe pande iwe ndio makao makuu ya usalama wa taifa.. Ili wakitaka kumng'oa mtu kucha wanatoka tu nje hakuna haja ya kusafiri nusu saa kutoka dar mjini
Zipuwawa JF-Expert Member Nov 28, 2010 3,051 653 Aug 11, 2012 #22 Wasije fuga fisi tu ili tukitupwa huko tuliwe kabisa................