Kuna mdogo wangu alijiunga chuo cha upolisi CCP moshi mwezi wa 8 mwaka 2010 lakini hakuweza kumaliza mafunzo kwani alikuwa terminated mwezi wa 9 mwaka 2010 kutoendelea na mafunzo kwa kosa la kukutwa na simu, baadae miaka miwili yaani 2012 alijiunga na kozi ya Afya kwa ngazi ya diploma na kuitimu 2015, serikali ikatangaza ajira mwaka huu mwezi wa tank akaomba na akapata nakupangiwa kituo cha kazi sasa baada ya kuripoti kituo cha kazi baadae baada ya kujaza detail zake muhimu kwa afisa muajiri akaja akaambiwa eti inaonekana kama alishawahi kuajiriwa serikalini ndipo alipofuatilia wizara ya utumishi ukakuta Tayari alishatengenezewa check number kipindi yuko CCP ! Na check namba iyo inaonesha aliingia kwenye mpango wa malipo yaani mshaara 8/9/2010 na alikuja kuwa terminated 23/11/2010, anajaribu kufuatilia hili apate haki yake lakini mpaka sasa bado hakijaeleweka. Sasa kuna swali la msingi anajiuliza iweje awe na check number wakati alifukuzwa chuo? Ndugu wakuu humu jf nakujaa kuna watu wazuri na waliobobea katika kutoa ushauli angalau ya kimawazo naombe msaada kwa hilo ?
Natanguliza shukrani, naomba kuwasilisha
Natanguliza shukrani, naomba kuwasilisha