Mwanamke ana 32yrs mwenye 43 ni mwanaume
Atulie na kulea mwanaye...huyo jamaa middle age...hana pakukimbilia...nini faida ya ndoa kama haina maelewano,upendo na uvumilivu???
Kwa maoni yangu mwanamke 32 still anaweza kupata mtu wa kumuoa maana siku kuna watu wanataka age hiyo so let her hope for the best kama akitokea akakubali kwenda na hali yake
Asante kwa maoni/ushauri napata point za kumshauri
Kuna rafiki yangu ambae amezaa na mwanaume, mtoto anamiaka mi 3 sasa, mahusiano yao yanamiaka mitano. Mpk leo huyo mwanaume hajasema chochote khs ndoa japo huyo dada sn anafahamika upande familia ya mwnaume. Ila mwanaume hafahamki sn upande wa ukeni, mwanaume anawatoto wa2 wakubwa tu. He is now 43 yrs. Juzi kati wametofautiana na mwanamke kaamua kumuacha. Ila bado anampenda anaomba ushauri ktk kpnd hk kuelekea mwak mpya, abaki na donge la hasira moyoni, au amsamehe lkn mahusiano yasiwepo?
ooh,,,
Hawajawahi kuishi pamoja, ni mahusiano tu, kwa hyo miaka mi 5 na ndani ya mahusino akapatikana mtoto, yule dada kila akimuuliza huyo m'me khs ndoa, haonyeshi kujali sana, ila anamwambia anajipanga. Dada wa mwanaume na ndg wanampenda sn huyo dada. Tatizo mwanaume haeleweki ana msimamo gani
ndoa si jambo la kukurupuka na unaweza kuwa katika uhusiano hata wa miaka kumi na usiwe na sifa za kuingia kwenye ndoa.wanaume wako makini sana katika hili na unaweza kushaangaa akakuacha wewe uliyedumu naye miaka yote kisha akapata mpenzi miezi sita tu akatangaza ndoa.kuishi na mtu miaka mingi sio sababu na mtoto pia sio sababu.
Pia yawezekana wakati wanaanza uhusiano walikuwa na makubaliana tofauti ndio hayo ya kuzaa yakatokea mbeleni ila mwanaume hakuwa na mpango wa ndoa.
Ushauri.
Kama bado wanapendana wawe pamoja hakuna haja ya hasira kibao.akae na mwanaume walizungumzie hilo na amuoneshe nia yake ya kuhitaji kuolewa kwa vitendo sio maneno zaidi(namaanisha aanze kubehave kama mwanandoa mtarajiwa)
wish her luck