Habari jf,napenda kuuliza ni course zipi ngazi ya certificate & diploma anaweza soma mtu mwenye matokeo ya kdato4 2018 kama HISTORY D,LANGUAGE C,KISWAHILI C,BIOLOGY D,MATHEMATICS F,CHEMISTRY F,GEOGRAPHY F,CIVICS D Ahsanteh
Jibu sahihi ingia NACTE mtandaoni tafuta ADMISSIONS na hapo pata Admission Guidebooks za 2019 na zipitie kwa umakini. Kwa C2 na D3 hutakosa program inayokufaa.
Jibu sahihi ingia NACTE mtandaoni tafuta ADMISSIONS na hapo pata Admission Guidebooks za 2019 na zipitie kwa umakini. Kwa C2 na D3 hutakosa program inayokufaa.
Jibu sahihi ingia NACTE mtandaoni tafuta ADMISSIONS na hapo pata Admission Guidebooks za 2019 na zipitie kwa umakini. Kwa C2 na D3 hutakosa program inayokufaa.