Ni hivi kinachotakiwa ni mwajiri wake ampitishie barua yake basi anakubaliwa kuhamia MUST..
Kwa mtazamo wangu MUST ni kuzuri zaidi ukiachila mbali kwamba ni chuo anaweza kujiendeleza kwa urahisi kuliko halmashauri.
Namshauri huyo mdogo wako aombe, Aongee vizuri na ma hr wa halmashauri wampitishie barua asepe zake.
Uhamisho huu ni rahisi sana UTUMISHI watakuwa wameubariki