Msaada: Simu inaingiza chaji Then inaacha

Sigara Kali

JF-Expert Member
Joined
May 28, 2017
Posts
3,708
Reaction score
8,747
Salaam wataalam

Mi nina simu Itel 1508

Hii simu bwana imeanza ugonjwa wa kutopeleka chaji ,sometimes nikiichaji inaingia vizuri lakini inaweza ikafika 20% ikasimama isiendelee tena inaweza kukaa kutwa nzima kwenye chaji inabaki ile ile 20%

Sometimes inakesha kwenye chaji kuamka asubuhi ina 4%

Sometimes inakua na 35% hapo inakua naichaji nimeizima ,nikiweka line na kuiwasha unakuta may be 56% au 47%

Sasa nashindwa kujua tatizo ni chaja au simu yenyewe

So wajuvi wa mambo wanifahamishe nini hasa kinasababisha hii hali .
 
Nunua mpya tuu, mda wa simu kukaa nayo hizi za develeoping country its not more than 3 year
 
tupa iyo nunua mpya,usimess up na charging system za simu, utalipukiwa nayo
 

BADILI BATTERY
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…