Msaada namna ya Kuhama faculty

kimoda OG

Member
Joined
Oct 9, 2017
Posts
5
Reaction score
1
Samahani wakuu kama kuna uwezekano wa kuhama kozi na kama upo ni hatua gani unachukua ikiwa vigezo vyote vya kozi unsyohamia unavyo
 
Samahani wakuu kama kuna uwezekano wa kuhama kozi na kama upo ni hatua gani unachukua ikiwa vigezo vyote vya kozi unsyohamia unavyo
Ina depend kama coz unayohamia chuo husika haijaa!!!...somtyms inakamlolongo
 
Ina depend kama coz unayohamia chuo husika haijaa!!!...somtyms inakamlolongo
Mkuu mlolongo inaweza kuchukua kama muda siku ngapi hivi au kuna hela inahitajika



Asante
 
hakuna hela dogo easy tuu unaandika barua unahama kama nafasi zipo.
Kama umechaguliwa Udsm mkianza orientation mtaambiwa jinsi ya kuhama
 
nami nataka nikifika nihame asee tupeni mwangaza kidogo
 
Samahani wakuu kama kuna uwezekano wa kuhama kozi na kama upo ni hatua gani unachukua ikiwa vigezo vyote vya kozi unsyohamia unavyo
Mkuu weka vizuri ueleweke, unahama Course, degree program au Faculty?. Kumbuka hivi ni vitu tofauti
 
form six walio wengi sijui neno faculty wanalielewa vipi!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…