Ukipata tatizo la maumivu ya mgongo, tambua kwamba uponaji wake huchukua muda mrefu ama unaweza usipone kabisa.
Nenda ukawaone wataaalamu wa mifupa mazee...
Ukipata tatizo la maumivu ya mgongo, tambua kwamba uponaji wake huchukua muda mrefu ama unaweza usipone kabisa.
Nenda ukawaone wataaalamu wa mifupa mazee...
Acha kupoteza muda nenda hospitali kwa wataalamu wa mifupa na viungo vya fahamu.wao watakufanyia vipimo na kukushauri matibabu ya kufanya.Hizo Gel wanazokutajia watangulizi wa hapa JF zinasaidia tu kutuliza maumivu lakini tiba hasa watakushauri madaktari.