Kwa anaezifahamu ndulele ni tiba nzuri sana ya jino!
Unachukua ndulele 3 au 6,unachukua sufuria unaweka vikombe 6 vya maji,limao 3,unadondoshe na mafuta ya taa kiasi zikiwemo na hizo ndulele!
Then chemsha hayo maji kwa muda usiopungua dakika 15!Yatoe maji kwenye moto acha yapoe!
Tumia hayo maji kusukutua kutwa mara 3!