Karibu kweny jukwaa pendwa la tech. Humu ni tofauti na forum zingine na unapochangia angalia uzi ulitolewa lini. Unaweza kutoa suluhu kumbe uzi wa mwaka 2012 au mtu kaandikiwa R.I.P
Huu uzi ni wa muda kidogo mr kwahiyo uwe makini.
(Nimekutonya tu na hii comment hawawezi kuiona watu wengine kwahiyo usipanic. Tunajuzana palipo na shida)
Karubu sana JF