Una taka kuanzishia wapi?
Kwenye eneo la ukubwa gani?
Una taka kuanza na nguruwe wangapi?
Una taka kuanza na nguruwe watoto au wakubwa?
Masoko umeyatasmini vipi kabla ya kuanzisha hii biashara?
Una mpango gani wa muda mfupi na muda mrefu ktk hii biashara?
Nk...!