Sijaelewa kitu hapa..kwani umechaguliwa bila kuomba? Mi nadhani hili swali lilitakiwa kuulizwa kabla hujaaply.
By the way,ajira kwa sasa zipo..kuhusu "chap" itategemea na uhitaji wake wakati utakapokuwa umemaliza chuo.
Sijaelewa kitu hapa..kwani umechaguliwa bila kuomba? Mi nadhani hili swali lilitakiwa kuulizwa kabla hujaaply.
By the way,ajira kwa sasa zipo..kuhusu "chap" itategemea na uhitaji wake wakati utakapokuwa umemaliza chuo.