offside trick ni mtego wa kuotea unaochezwa na mabeki wa timu pinzani dhidi ya washambuliaji wa timu nyingne wakat hat-trick ni mabao matatu au zaidi yaliyofungwa na mchezaji mmoja ktk mechi moja
offside trick ni mtego wa kuotea unaochezwa na mabeki wa timu pinzani dhidi ya washambuliaji wa timu nyingne wakat hat-trick ni mabao matatu au zaidi yaliyofungwa na mchezaji mmoja ktk mechi moja
Offside trick huchezwa na washambuliaji kwa mmoja au wawili kuotea, halafu anayepokea pasi anakuwa hajaotea, anafunga mabeki wanabaki kunyoosha mikono.