Msaada: Jinsi ya ku-Unlock Samsung Galaxy A6+

Sir Hemedi

Senior Member
Joined
Sep 28, 2016
Posts
112
Reaction score
120
Nina simu tajwa hapo juu [ Samsung Galaxy A6+} lakini imelockiwa kuwa ni ya nchini India hivyo haikubali laini ya mtandao wowote hapa Tanzania. Je kuna uwezekano wq kui-unlock ili itumie laini za mitandao ya hapa Tanzania. Msaada Tafadahli.

Nimeambatanisha na screenshots za Infos.
 

Attachments

  • photo_2019-04-26_08-19-53.jpg
    20.4 KB · Views: 41
  • photo_2019-04-26_08-20-02.jpg
    25.3 KB · Views: 31
Nina mashaka na hiyo IMEI namba ya kwenye simu yako kama inatambulika, pili info za simu yako hazijitoshelezi, unatakiwa uweke model inayoanzia na sm-a*** ili kuitambua kwa uhakika.

Tuma IMEI namba zako uone kama zinatambulika, zikitambulika post model hapa.

Mwisho je, ukiweka laini simu yako inaleta ujumbe gani unaohusiana na laini?
 
Yap afanye ku screenshot kule kwenye about phone tuhue tuna msaidiaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…