Wanajamii naomba msaada kwani mdogo wangu alipokuwa anatumia laptop yangu amefanya programm zote zionekane kuwa ni microsoft word.Nimejaribu ku restore lakini bado program zote zinafunguka kwa microsoft word. Naomba msaada nifanye nini ili programm zifunguke kama kawaida. Natumia window 7. Nasubiri msaada wandugu