mkuu ushauri wako sio mzuri sana kabisa.kwa Gari nyingine taa ya ABS ikiwaka shida huwa kubwa sana.na ukiendelea kuendesha unazidi kufanya uharibifu zaidi .kama kuharibu gearbox n.k
Shida itakua sensors za kwenye maeneo ya matairi. Cha kufanya ifanyie diagnosis then ujue shida iko kwenye tairi gani. Hio sensor bi waya flani hv ambayo inaweza kua imechubuka ama imechomoka au imeisha. Pia tatizo linaweza kua associated na bearing. So njia bora ni kwenda garage wapate mengine zaidi.
mfumo wa ABS unaosaidia unapokanyaga breaks yako, tyres zote kushika breaks kwa usawa na kiwango kimoja bila kuzidiana hivyo ukiendesha gari wakati mfumo ni mbovu ni hatari inapelekea gari kuteleza unapokanyaga breaks. Hivyo ni muhimu kurekebisha mfumo, Pia inapotokea dharura ukakanyaga breaks kwa nguvu na ghafla mfumo unakusaidia gari kusimama papo kwa papo.