Msaada channel imepotea ya Startimes

PastorA

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2016
Posts
361
Reaction score
275
Wakuu naomba msaada wenu kuna siku mbili sikupata channel ya Star TV nikajua ni tatizo dogo lakini sasa hata kwenye list haipo
Natumia Star times..nifanyeje msaada jamani
 
Wakuu naomba msaada wenu kuna siku mbili sikupata channel ya Star TV nikajua ni tatizo dogo lakini sasa hata kwenye list haipo
Natumia Star times..nifanyeje msaada jamani
Tawireeeeee nami pia........................!
 
Hapa kuna kitu kinaendelea ndani ya Star TV na RFA. Haiwezekani wakapotea kimyakimya bila hata kutoa taarifa hasa ukizingatia ni TV pekee iliyojitwisha mzigo wa kutangaza kampeni za CCM mwaka 2015. Au wametoswa?
 
Ni kweli mkuu haionekani, mimi toka jana kwenye king'muzi cha startimes, sijui tatizo ni nini??
 
Basi tatizo lipo kwa wote watumiaji wa hicho kin'gamuzi takribani siku mbili star tv haionekani, na sasa ndio wameitoa kabisa hata kwenye list haipo sijui shida ni nini...
 
Wakuu naomba msaada wenu kuna siku mbili sikupata channel ya Star TV nikajua ni tatizo dogo lakini sasa hata kwenye list haipo
Natumia Star times..nifanyeje msaada jamani
Ni kweli hata Mimi sipati nilishajiandaa kutembeza bakora nikihisi kuna aliyechokonoa akapoteza Chanel kumbe hata wewe hupatj basi wamepona
 
wenzetu wa ving'umuzi vingine watujuze wanaipata hii chanel?
 
Hata dstv kuna ujumbe kuwa iyo channel haipo kwa muda
 
itakuwa imefungwa maana majuzi ilitangazwa kuwa sahara media inadaiwa mabilion na tra, pamoja na kujikosha kooote kuibeba ccm wakati wa kampeni wajue magu haangalii, kodi lazima
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…