Cholemasaki
Member
- Mar 26, 2013
- 61
- 15
Jaribu tena utupatie jawabu
Nipo zangu mitaa ya masaki sasa hivi kwenye kiota flani cha starehe. Pembeni yangu wamekaa washakaji flani, wanaonekana wapo late 20's, and kama wafanyakazi wa bank vile kwa jinsi Walivovaa.
I've over heard part of their convo n it got me thinking. Mmoja wao alikua anawaambia wenzake "hata uwe na demu mzuri vipi, hata siku moja hawezi kuwa mtamu kama malaya". Wenye uzoefu watuambie, kuna ukweli wowote hapa?
Mimi personally, demu wa kwanza kumgegeda alikua malaya bt i had a bad experience with ha, shyt happened. Sijarudia tena hadi leo.
Noma mzee, niliapa sitorudia tena. Ndo maana nimesema wenye uzoefu waje watuambie
Sijaelewa lengo la hii thread ni nini na majibu yake yatakusaidia nini!
Kwa mtu mzima na akili timamu unaweza ku-compare kweli mke na malaya?
word mkuuSijaelewa lengo la hii thread ni nini na majibu yake yatakusaidia nini!
Kwa mtu mzima na akili timamu unaweza ku-compare kweli mke na malaya?
Kusema kweli ile statement imenishangaza sana, na imenipa shauku ya kujua kama kuna ukweli ndani yake, ndo maana nimeileta hapa. Mimi personally nimekosa jibu coz sina experience na hyo kitu.
pole sana Cholemasaki kwani nahisi hutopata majibu as si wanaume wote wanaoweza kuwashushia heshima wake zao to the extent ya kuanza kuwacompare na wadada poa na wewe pia kwa ushauri wa bure kabisa acha huo mtindo as you gain nothing.
asante sana kwa kunisoma mkuu na vilevile nimependa hekima yako wala hujakasirika kwa kurekebishwa endela hivyo hivyo mkuu nawe utafanikiwa,kila la kheri.Hapo umenena mkuu. Nimekusoma
Sijaelewa lengo la hii thread ni nini na majibu yake yatakusaidia nini!
Kwa mtu mzima na akili timamu unaweza ku-compare kweli mke na malaya?