Mm naona kama bado hujachezanae kwa ufasaha kwani wengine lazima kwanza uwachezee mpaka wajisikie raha sana sio ukifika uko juu na isitoshe mcheki kwanza udhaifu wake laa kama hio ndio nguvu yake bc tafuta ushauri kutoka kwake kama vp mshauri kwanza sawa?