Kwa hivyo mbona tunaongea sana, kama kubadilshana mawazo kufunzishana Biblia na mengi tuu sema shida nimpende mmoja ile kumwanza ndio imekua ngumu kwangu
Sita sahau siku nilipompenda mdada mmoja mpaka nikalia chozi lakini kumwambia au kumwonyesha nilishindwa, nikajisemea si vyote viwezekanavyo kwa kweli.