No deadline ilikuwa tar 25 jan na interview tumepiga leo,jamaa wako smart sn katika zoezi zima la usaili, angalizo jamani mkiitwa kwenye interview kama huwezi udhuria muwe mnatoa taarifa,tumejikuta tupo wachache sn tofauti na shortlist
No deadline ilikuwa tar 25 jan na interview tumepiga leo,jamaa wako smart sn katika zoezi zima la usaili, angalizo jamani mkiitwa kwenye interview kama huwezi udhuria muwe mnatoa taarifa,tumejikuta tupo wachache sn tofauti na shortlist