Mkuu wa Mkoa wa Dar Makonda awatangazia wananchi wa mkoa wake miguu ya bure

Kaka hapo ulikiwa unamaanisha nini?



Hivi kaka unafikiri huyu jamaa anajitambua, inakiwa shida kwa mtu kuamini kiwa huyu ni blood line ya Malecela Family, maana wote wanajitambu ni yeye tu

- HAHAHhahahaha binadam asiyejitambua ni wewe unayetumia majina ya bandia hahahahaha pole sana

le Mutuz
 
Si kuna wataalam watawapima mguu sio km kiatu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
- HAHAHhahahaha binadam asiyejitambua ni wewe unayetumia majina ya bandia hahahahaha pole sana

le Mutuz
Ni kweli inawezekana mimi sijitambui, lakini sijafikia kiwango chako cha kutojitambua

Sijui katika hii picha kama kuna mtu ana umri hata nusu ya umri wako, nina uhakika kuwa baadhi ya uliokuwa nao hapo ni wajukuu zako


Daaah, hope hivyo viatu ni vyako
 
Mnafiki mkubwa, akashughulikie ugumba wake kwanza.
Unamuongelea Daudi Albert Bashite wa Koromije anayeghushi vyeti vya Paul Makonda?

Time will tell

we ndio msemaji na mzungumzaji rasmi wa mkuu wa mkoa,hongera umejiongeza maana hata yeye bila kujipendekeza kwa Ritz asingefika hapo alipo,hongera kwa kutafuta fursa mkuu


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…