MKUTANO WA RAIS

Bampalo

Member
Joined
Sep 13, 2017
Posts
29
Reaction score
32
Tunaombaa mkutano Kati ya mheshimiwaa rais na wasio na ajira Kama alivofanya na wafanyabiasharaa
 
Atawaambia Nini wakati hela za kuajiri Hana? Unadhani hajui kua kachemka? Utafanyaje mamiradi yote kwa pamoja? Kununua ndege cash alidhani Ni sifa, kua mhaya tu Ni tatizo..hatothubutu kukubali, sio kwamba hapendwi kuwapa ajira..atawalipa nini? Unless mkubali kujitolea bila sentano! Sasa si Bora msiajiriwe tu!
 
Yule jamaa ana jazba sana. He cant stand that chance.
 
Ni mhaya yule mzee?
 
Akimliza huo mkutano atuite na sisi wapiga dili tumpe ya moyoni .
 
Tunaombaa mkutano Kati ya mheshimiwaa rais na wasio na ajira Kama alivofanya na wafanyabiasharaa

Siku zingine muwe mnajifunza Adabu kwani kwa Mtu mwenye Busara tu hawezi Kundika neno Rais kwa herufi ndogo kama ulivyofanya hivi Wewe. Hata neno Mungu nalo ukiandika kwa herufi ndogo utaonekana ni mwenye matatizo makubwa Kichwani. Jifunzeni Kanuni Kuu za Kiuandishi kwani yawezekana pia ikawa ni Chanzo kimojawapo cha Wewe ( wengineo wengi ) Kukosa hizo Ajira mnazozililia hapa.

Kwa Kukusaidia tu ni kwamba hakuna Rais duniani anayetoa Ajira na wala hakuna Serikali yoyote duniani ambayo inaajiri Kundi kubwa la Watu isipokuwa Jukumu kubwa la Serikali nyingi duniani ni kuweka Sera nzuri na Mifumo mema ambayo itawezesha nchi husika kuwa na Viwanda vya Kutosha, Uwekezaji mkubwa na kuwa na Elimu bora yenye Kuakisi Vitendo, Utafiti na Ujasiriamali ili Watu waweze Kujiajiri na siyo Kusoma ili waje kuja Kuajiriwa na Rais au Serikali husika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…