Atawaambia Nini wakati hela za kuajiri Hana? Unadhani hajui kua kachemka? Utafanyaje mamiradi yote kwa pamoja? Kununua ndege cash alidhani Ni sifa, kua mhaya tu Ni tatizo..hatothubutu kukubali, sio kwamba hapendwi kuwapa ajira..atawalipa nini? Unless mkubali kujitolea bila sentano! Sasa si Bora msiajiriwe tu!