Ingekuwa bachelor ungepata , Mkopo kwenye level zingine wanatoa Diploma in Primary na in sekondari kama VIP nenda education kama huna uwezo Wa kujisomesha
Nduguu uwagee unafatiliaa vituu tangiaa linii ushawahii fuatilia kwamba diploma za afya wanatoa mkopo sema kunaunafuu kwa vyuo vya government nasivinginevyo kuanzia ada chakula na maradhi so its bou your choice
ivi na mm naomben kujua, nilimaza form six mwakajana sikupata mkopo , nikashindwa kwenda kuripot , je sasa iv nataka niombe tena mkopo anae jua utaratbu tafadhari nao anijulishee kwakeli......